TEHRAN (IQNA) – Fiqh katika Qur’ani ni kazi ya kufasiri Qur’ani Tukufu ambayo mwandishi ametafsiri Ayat al-Ahkam ya Kitabu kitukufu.
Habari ID: 3477704 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/09
Fiqhi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mwanachuoni Mwandamizi wa Iran Ayatullah Ahmad Mobaleghi yuko Jeddah, Saudi Arabia, kuiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao cha 25 cha Akademia ya Kimataifa ya Fiqhi ya Kiislamu.
Habari ID: 3476588 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/20